|
Chagua ndio au la.
1. Unapoamka asubuhi, mzazi wako atakuuliza umeamkaje?.
|
2. Umeshindaje ni maamkuzi ya asubuhi.
|
3. Safiri salama hutumika wakati tunaposafiri.
|
4. Jibu la hujambo ni sijambo.
|
5. Nilipotoka nyumbani asubuhi, mama aliniaga kwa kuniambia usiku. mwema.
|
|