nyuma
jaribu tena
hakikisha
Chagua jibu sahihi ili kujibu maswali yafuatayo.
1. Kipchonge ameishindia nchi yetu nini?___
(medali ya shaba,
medali ya dhahabu)
2. Mnamo mwaka___Kipchoge alivunja rekodi huko nchini Japani.
(2019,
2009)
3. Bendera ya Kenya ina rangi ngapi?___
(nne,
tatu)
4. Kila anaposhinda Bendera ya Kenya hupeperushwa uwanjani na wimbo wa___huimbwa.
(dunia,
taifa)