Jaza pengo kwa kutumia yeye au wao



1. atakula matunda.(yeye, wao)
         
2. wanaandika.(yeye, wao)
         
3. anaimba wimbo wa taifa.(yeye, wao)
         
4. anacheza uwanjani. (yeye, wao)

5. wanabeba vikapu. (wao, yeye)