nyuma
jaribu tena
hakikisha
Jaza pengo kwa kutumia yule au wale
1.
anaandika barua.( wale, yule)
2. Mtoto
alilia sana usiku.(yule wale)
3. Punda
wanabeba mizigo mingi.( yule, wale)
4. Mvulana
anatembea.(yule, wale)
5. Wadudu
wameharibu mimea shambani.(yule, wale)