|
Chagua ndio au la.
1. Usalama ni muhimu kwa kusoma na kupata matokeo bora.
|
2. Iwapo mwanafunzi ameuimia,hakuna haja ya kumfanyia huduma ya kwanza.
|
3. Tahadhari hufanyiwa ili kuzuia magonjwa.
|
4. Mwanafunzi hupewa maji ya kuzuia uchungu.
|
5. Mwanafunzi anapoumia apelekwe katika zahanati.
|
|