Mwalimu:Je, utatumia neno gani badala ya lililo kwenye mabano?Bonyeza jibu sahihi.



1. Mto huu unajulikana kuwa na (ngwena) wakubwa.
2. Rafiki yangu aliniandikia (waraka).
3. Tuliwasha (televisheni ) ili tutazame vibonzo.