nyuma
jaribu tena
hakikisha
Jibu maswali haya kwa usahihi
1. ___alikuwa mwanafunzi mlafi.
A. Mbithe
B.Mbinda
2. _____ni mtu anayekula kupita kiasi.
A. mlafi
B.mkarimu
3. Mbithe ali___ baada ya kula chakula alichoiba kutoka kwa wanafunzi wenzake.
A. kufa
B.zirai
4. Walimu walimpatia Mbithe ___ baada yake kuzirai.
A.dawa
B. huduma ya kwanza