nyuma
jaribu tena
hakikisha
Jaza pengo kwa kutumia maneno mbele ya, ndani ya na juu ya.
1. Chai iliwekwa ___ ya chupa.
A.ndani ya
B.juu ya
2. Aliketi ___ kiti kilichokuwa sokoni.
A. ndani ya
B.juu ya
3. Mtoto amesimama ___ ya mzazi wake.
A. mbele ya
B.ndani ya
4. Nilipokuwa nataka kunywa maji, nilienda mferejini na kuyaweka ___ glasi.
A.juu ya
B. ndani ya