Jaza pengo kwa kutumia maneno mbele ya, ndani ya na juu ya.



1. Chai iliwekwa ___ ya chupa.
2. Aliketi ___ kiti kilichokuwa sokoni.
3. Mtoto amesimama ___ ya mzazi wake.
4. Nilipokuwa nataka kunywa maji, nilienda mferejini na kuyaweka ___ glasi.