|
Jibu maswali yafuatayo kwa kuchagua jibu sahihi kati za zile ulizopewa.
1. Ni kwa nini mwanafunzi anapaswa kudhibiti kasi yake ya usomaji?
|
2. Kulingana na mtaala, mwalimu anapaswa kumwelekeza mwanafunzi kufanya nini kuhusu kasi ya usomaji?
|
3. Ni lipi kati ya yafuatayo linafafanua matamshi bora katika usomaji?
|
4. Kwa nini ni muhimu kutumia ishara sahihi wakati wa kusoma matini?
|
|