| 
            
                
                
				
                    Jibu maswali yafuatayo kwa kuchagua jibu sahihi kati za zile ulizopewa. 
								
                    	
							
                            | 
								1. Ni kwa nini mwanafunzi anapaswa kudhibiti kasi yake ya usomaji?
                             | 
							 
					 
					
						
							
                            | 
                             2.	Kulingana na mtaala, mwalimu anapaswa kumwelekeza mwanafunzi kufanya nini kuhusu kasi ya usomaji?
         
                             | 
							 
					 
					
						
							
                            | 
                            3. Ni lipi kati ya yafuatayo linafafanua matamshi bora katika usomaji?
                             | 
							 
					 
					
						
							
                            | 
                            4. Kwa nini ni muhimu kutumia ishara sahihi wakati wa kusoma matini?
                             | 
							 
					 
					
					
					
					
					
				  |