Ambatanisha maelezo na aina ya kusoma kikamilifu kwa kuburura aina ya kusoma na kuambatanisha na maelezo.
| 
                        1.Usomaji unaohusu kusoma matini mbalimbali kwa mapana ili kukuza stadi ya kusoma.  | 
                    
                         kurambaza /kusoma kwa kulenga dhana 
                     | 
                |
| 
                        2. Kusoma kunakoongozwa na lengo la kupitia matini kijuujuu ili kupata habari kimsingi.  | 
                    
                         kusoma kwa ufasaha  
                     | 
                |
| 
                         3. Ni kuwa na uwezo wa kusoma matini kwa kuzingatia vipengele vya usomaji wa ufasaha kama kasi ifaayo, matamshi bora, kiimbo, matumizi ya ishara)  | 
                    
                         kusoma kwa mapana  
                     | 
                |
| 
                         4. Mbinu ya kusoma matini kimakini zaidi na kwa nia fulani kama kwa mfano kujibu maswali, kuchambua wahusika, maudhui na dhamira.  | 
                    
                         kurashia/kusoma kwa upitiaji upesi 
                     | 
                |
| 
                         5. Kusoma matini kunakoelekezwa na nia ya kupata dhana kuu katika matini.  | 
                    
                         kusoma kwa ufahamu 
                     |