# | Aina ya Usomaji | Maelezo | Ndiyo | La |
---|---|---|---|---|
1 | Kusoma kwa ufasaha | Usomaji unaohusu kusoma matini mbalimbali kwa mapana ili kukuza stadi ya kusoma. | ||
2 | Kusoma kwa kina | Usomaji unaohusu kusoma matini mbalimbali kwa mapana ili kukuza stadi ya kusoma. | ||
3 | Kusoma kwa ufahamu | Mbinu ya kusoma matini kwa makini zaidi kwa nia fulani. | ||
4 | Kurambaza/ Kusoma kwa kulenga dhana | Kusoma matini kunakoelekezwa na nia ya kupata dhana kuu katika matini. | ||
5 | Kurashia/ Kusoma kwa upitiaji upesi | Kusoma kunakoongozwa na lengo la kupitia matini kijuujuu ili kupata habari kimsingi. | ||
6 | Kusoma kwa mapana | Kuwa na uwezo wa kusoma matini kwa kuzingatia vipengele vya usomaji. |